Skip to main content
Makamu Mwenyekiti
Contact Info
Education

Prof. Msambichaka ana Shahada ya Kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Dar-s- Salaam, Shahada ya Uzamili na Uzamivu kutoka Chuo Kikuu cha   Leipzig Ujerumani. Prof. Msambichaka ni Mjumbe wa Bodi zifuatazo: Jumuiya ya Uchumi ya Kilimo Tanzania, Jumuiya ya Uchumi Tanzania na Utawala na Usimamizi wa Umma katika Jumuiya ya Afrika. Na pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji. Prof. Msambichaka amewahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi wa mashirika kadhaa ikiwepo Bodi ya Wakurugenzi ya Ngozi Morogoro, Taasisi ya Fedha ya Maendeleo ya Biashara, Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa, Chuo Kikuu cha Biashara Moshi (MUCCOBS), Usajili wa Biashara na Utoaji wa Leseni  [BRELA], Mamlaka ya Maendeleo ya Bonde la Mto Rufiji (RUBADA), Chuo cha Ustawi wa Jamill na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Contact info

TCCIA Investment Company Limited [TICL] is a public limited liability company that was established by shareholders to expand financing sources to participate meaningfully in the ownership and control of the Tanzanian economy