Skip to main content
Mjumbe
Contact Info
Education

Bwana Mnyawami ana Shahada ya Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Makerere, 1993 na Shahada ya Uzamili ya Uchumi kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam, 2002. Bwana Mnyawami ana uzoefu wa miaka 20 katika kazi.  Kuanzia mwaka 1994 hadi 2002, alikuwa ameajiriwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) kama Mtakwimu chini ya Mkurugenzi wa Masoko na Uwekezaji. Oktoba, 2002 hadi 2015 alijiunga na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Mashirika ya Umma (PPF) kama Mratibu/ Meneja wa Mipango na Utafiti. Alijiunga tena na TPDC mwaka 2015 kama Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji. Bwana Mnyawami ni mjumbe wa Kamati ya Uwekezaji na amesajiliwa na Chuo cha Wakurugenzi Tanzania (IoDT).

Contact info

TCCIA Investment Company Limited [TICL] is a public limited liability company that was established by shareholders to expand financing sources to participate meaningfully in the ownership and control of the Tanzanian economy