Skip to main content
Afisa Mtendaji Mkuu/ Katibu wa Bodi
Contact Info
Education

Ndugu Kifunguomali ana Shahada ya Uzamili katika masuala ya Biashara ya Kimataifa kutoka Chuo Kikuu cha  Jamia Millia Islamia, New Delhi, mwaka 2014 na Shahada ya Sayansi ya Uchumi katika kubuni Miradi na kuisimamia kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe mwaka 2007. Aliwahi kufanya kazi katika Wizara ya Mali Asili na Utalii, Benki ya NBC na Mfuko wa LAPF. Kabla ya wadhifa wake wa sasa kwenye Kampuni, alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mipango cha Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Watumishi wa Umma (PSSSF) tangu Septemba, 2018. Alikuwa ni Mjumbe wa Bodi ya Kampuni toka Julai 2017 hadi June, 2019.

Contact info

TCCIA Investment Company Limited [TICL] is a public limited liability company that was established by shareholders to expand financing sources to participate meaningfully in the ownership and control of the Tanzanian economy