Skip to main content
Mjumbe
Contact Info
Education

Bwana Khisombi ana stashahada ya ADMA kutoka Chuo cha Uongozi wa Maendeleo cha Mzumbe (IDM), 1999 na shahada ya Uzamili katika masuala ya Uongozi wa Biashara kutoka Chuo Kikuu Mzumbe, 2008. Sasa hivi yeye ni Kaimu Mkurugenzi wa Ugavi wa Mfuko wa PSSSF na anawakilisha mfuko huo kwenye Bodi. Awali, alikuwa na nyadhifa kadhaa kwenye Mfuko NSSF kama Ofisa Mkuu wa Ugavi kutoka mwaka 2018 hadi 2019, Ofisa Mwandamizi wa Ugavi Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kutoka mwaka 2017 hadi 2018, Mkuu wa Kitengo cha Ugavi cha Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro na Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kutoka mwaka 2007 hadi 2017. Yeye ni mjumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya TICL

Contact info

TCCIA Investment Company Limited [TICL] is a public limited liability company that was established by shareholders to expand financing sources to participate meaningfully in the ownership and control of the Tanzanian economy