Skip to main content
Msimamizi wa Kitengo cha Rasilimali Watu, Uongozi na Teknohama
Contact Info
Education

Bi. Osima ana Shahada katika mambo ya TEHAMA (BSc. ICT) kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Pia ana Cheti katika masuala ya TEHAMA kutoka Kituo cha Compyuta cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na pia ana Stashahada ya Sayansi ya Kompyuta kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Bi. Osima alijiunga na Kampuni mwaka 2008 kama Mtaalam wa TEHAMA Katibu Muhstasi (IT-Assistant cum Secretary). Januari, 2011 alipandishwa cheo na kuwa Msaidizi wa Afisa Mtendaji Mkuu. Anaitumikia Kampuni kama Mtaalam wa TEHAMA.

Contact info

TCCIA Investment Company Limited [TICL] is a public limited liability company that was established by shareholders to expand financing sources to participate meaningfully in the ownership and control of the Tanzanian economy